Tenzi is not working well without JavaScript!, check your browser to turn on javascript or install modern browser.
Google chrome
or
Mozila firefox
is recomended
x
Miziki imeambatanishwa, hakikisha kiperuzi chako kimewezeshwa. Tunashauri matoleo ya karibuni ya
Google chrome
au
Mozila firefox
tenzizarohoni.net
Vitabu vya nyimbo
Miziki
Neno la Mungu
Kusifu na kuabudu
Login
Signup/Register
Kiswahili
English
Yesu zamani Bethrehemu
← Iliyopita
Ijayo →
(Vi)Kitabu
Tenzi za rohoni
( #73 )
,
Nyimbo standard
( #156 )
,
Lyrics kama ilivyo katika
"
Tenzi za rohoni
"
Yesu zama Bethilehemu, aliyezaliwa kwa aibu, ndiye mwakozi wa ulimwengu, akaja kwa mimi.
Akaja kwa mimi; akaja kwa mimi; ndiye mwaokozi wa ulimwengu, akaja kwa mimi.
Yesu akafa msalabani, kuniponya akalipa deni, ni la ajabu ya jinsi gani, kunifia mimi!
Ni yeye huyo tangu asili; na nilipotanga-tanga mbali, alikuja kwa upole, kweli kuniita mimi.
Yesu kristo atarudi tena, hilo lanifurahisha sana. yeye Bwana akionekana, kunijia mimi.
Hakuna muziki kwa wimbo huu
Tweet
Like Tenzi Za Rohoni page on Facebook